Monday, September 28, 2009

bongo pia imo

tanzania ni kati ya nchi duniani zenye raslimali ya kujitosheleza,lakini ni nani anayefaidika nayo?asili mia kubwa ya rasilimali yetu bongo bado haijatumika bado na kiasi kilichogundulika,ni cha walami/wazungu,ukiuliza kwanini,utapewa sababu tele!!wewe ungelijibu vipi?




bongo inapasa kuwa na mipango endelevu ya kimaendeleo,yenye kufwatilia shughuli zote za uzalishaji,chukulia mfano madini ya tanzanite,hakika madini haya adim duniani hayana mipango madhubuti ya kitaifa,mwishowe uchimbaji holela ambao unapelekea kunufaisha nchi za nje na wananchi wao,sababu ni nini?watanzania hawana mitaji,hili ni jibu kweli?sina imani najibu hilo,mimi ninaamini,watanzania walio nje wangelishirikishwa nchi yetu ingenufaika.



kwakweli hili linasikitisha,mimi ninahofia hatima ya nchi yetu hapobaadae,na bado ninasisitiza tusiwe niwenye kujisahau na kusahau tulipotoka,tuisaidie nchi yetu,tanzania ndo sisi na sisi ndo tanzania,toa maoni ili niweze kuelewa unamawazo gani, visit http://ngasmet.topoffers.us or http://topoffers.blogspot.com for more.

No comments: